Mazungumzo ya kidini
TEHRAN (IQNA)-Akiwahutubia washiriki wa Kongamano la VI la Mazungumzo Baina ya Dini, Papa Francis aliwapongeza washiriki kutokana na mtazamo wao kuhusu mazungumzo baina ya dini.
Habari ID: 3476954 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04
Uislamu nchini Urusi
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkubwa zaidi katika eneo la Crimea nchini Urusi (Russia) utazinduliwa katika mji wa Simferopol mwaka ujao, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3476327 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29
Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Papa Francis, katika ziara ya kwanza ya kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, alisafiri hadi Iraq mwezi Machi mwaka jana.
Habari ID: 3476271 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19
Mkuu wa ICRO katika mkutano na Askofu wa Armenia
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu Iran (ICRO) anasema moja ya majukumu ya pamoja ya Uislamu na Ukristo ni kukuza nafasi ya dini katika maisha ya watu binafsi.
Habari ID: 3475707 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/30